Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vilabu 10 kuwania ubingwa Ligi ya Kikapu Taifa NBL

Jumamosi , 7th Mei , 2016

Vilabu 10 kutoka mikoa tofauti ya Tanzania vimeanza mbio za kuwania ubingwa wa Ligi ya Klabu Bingwa ya Taifa ambayo imeanza hii leo jijini Dar es Salaam katika viwanja vya ndani vya taifa na ABC vyote vya Dar es Salaam.

Moja ya timu shiriki katika ligi ya mpira kikapu taifa NBL ikikaguliwa kabla ya mchezo.

Ligi ya Taifa ya Klabu Bingwa ya Kikapu nchini Tanzania imekatwa utepe hii leo katika viwanja vya ndani wa taifa ikizikutanisha timu mbalimbali kutoka mikoa ya Dar es Salaam iliyoingiza timu tatu, Tanga, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mtwara, Rukwa na Mbeya.

Akizungumzia ligi hiyo ambayo inachezwa kwa makundi mawili ya A na B yenye timu tano tano kila kundi kamishina wa ufundi na uendeshaji mashindano wa shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania TBF ambao ndiyo waandaaji wa ligi hiyo Manasseh Zablon Mghamba amesema ligi hiyo itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote shiriki ambazo ndio mabingwa wa mikoa yao.

Aidha, Manase amesema kuwa TBF itatumia mashindano hayo kusaka vipaji vipya vyakuongeza katika timu ya taifa ambayo baadaye itashiriki katika michuano mbalimbali ya Kimataifa.

Katika mgawanyo huo wa makundi hayo mawili ya A na B ambayo yamepewa majina ya Pool kama ifuatavyo -:

POOL A
1 .JKT - DSM.
2.TPA-TANGA.
3. UDOM.- DODOMA.
4. VIJANA - DSM.
5 YOUNG WARRIORS - MORO.

POOL B
1. SAVIO - DSM.
2. KINGS - ARUSHA.
3. MARINE -MTWARA.
4. RUKWA STARS.
5 MBEYA FRAMES.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa