Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vita ya Man United, Chelsea na Tottenham

Jumatatu , 19th Mar , 2018

Baada ya vigogo watatu wa soka nchini England kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe la FA ambao ni Manchester United, Chelsea na Tottenham sasa mbio hizo zimegeuka vita kutokana mahitaji ya klabu hizo msimu huu.

Manchester United ambao ni mabingwa mara 12 wa kombe hilo, msimu huu ndio michuano pekee ambayo wanaweza kuwa mabingwa na watacheza nusu fainali na mabingwa mara 8 Tottenham Hotspurs ambao nao wanategemea kombe hilo pekee msimu huu.

Timu nyingine ambayo ipo kwenye vita ya kombe la FA ni Chelsea ambao ni mabingwa mara 7 wa kombe hilo watacheza na Southampton inayoshika nafasi ya 18 kwenye msimamo wa EPL msimu huu.

Manchester United walitwaa kombe hilo kwa mara ya mwisho misimu miwili iliyopita chini ya Louis van Gaal huku Chelsea wakitwaa mara ya mwisho 2012. Tottenham wao walitwaa mara ya mwisho mwaka 1991. Mechi hizo zitachezwa 21-22 Aprili.

Katika msimamo wa ligi Manchester United inashika nafasi ya pili ikiwa na alama 65 nyuma ya Man City yenye alama 81. Tottenham ipo katika nafasi ya 4 ikiwa na alama 61 wakati Chelsea ikiwa na alama 56 katika nafasi ya 5. Kimahesabu timu zote haziwezi tena kushindania ubingwa wa EPL huku pia zikiwa zimetolewa kwenye michuano ya UEFA. 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita