Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafahamu mabingwa wa Mapinduzi Cup 2007-2019

Jumatatu , 13th Jan , 2020

Fainali ya michuano ya Mapinduzi Cup inatarajiwa kupigwa usiku wa leo, Simba SC ikiwakaribisha Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Amani mjini Unguja.

Mtibwa Sugar dhidi ya Simba SC

Simba imetinga fainali baada ya kuindoa Azam FC katika mikwaju ya penalti huku Mtibwa Sugar pia ikitinga fainali kwa kuondoa Yanga SC katika mikwaju ya penalti.

Mabingwa wa michuano hiyo tangu mwaka 2007 ni kama ifuatavyo hapa chini.

Mwaka         Bingwa               Mshindi wa pili              Magoli
2007            Yanga SC              Mtibwa Sugar                  (2-1)
2008            Simba SC              Mtibwa Sugar                  (2-1)
2009            Miembeni              KMKM
2010            Mtibwa Sugar       Ocean View                    (1-0)
2011            Simba SC              Yanga SC                        (2-1)
2012            Azam FC               Simba SC                        (3-1)
2013            Azam FC               Tusker FC                       (2-1)
2014            KCCA                   Simba SC                        (1-0)
2015            Simba SC              Mtibwa Sugar                 (PEN: 4-3)
2016            URA                      Mtibwa Sugar                (3-1)
2017            Azam FC               Simba SC                       (1-0)
2018            Azam FC               URA                               (PEN 4-3)
2019            Azam FC               Simba FC                       (2-1)

Mchezo wa leo wa fainali unatarajia kupigwa kuanzia saa 2:15 Usiku. Je ni nani ataibuka bingwa kati ya Simba inayosaka taji la nne au Mtibwa Sugar inayosaka taji la pili?.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria