Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanyama amtabiria makubwa Samatta

Jumamosi , 24th Jun , 2017

Mchezaji wa Kimataifa wa kutoka Kenya anayechezea klabu ya Tottenham Hotspurs, ya ligi kuu ya soka nchini Englad, Victor Wanyama, amesema endapo Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ataongeza bidii anaweza kwenda kuchezea Ligi Kuu ya Uingereza.

Mchezaji Victor Wanyama

Wanyama ameeleza hayo kupitia kipindi cha FNL kutoka EATV usiku wa kuamkia leo na kusema Samatta ameweza kufungua njia kwa wachezaji wa Tanzania na endapo ataendelea kufanya vizuri basi atakuwa amejiweka katika nafasi nzuri ya kuzidi kucheza mpira kimataifa zaidi.

"Samatta amefungua njia kwa hapa Tanzania kwa hiyo wachezaji wengine wakipata nafasi wasikate tamaa, msimu huu Samatta amefanya vizuri sana na kama ataendelea kufanya vizuri katika msimu ujao basi atakuwa na nafasi ya kucheza Ligi kuu ya Uingereza. Anachotakiwa kufanya ni kutia tu bidii zaidi" alisema Wanyama.

                                                            Mchezaji Mbwana Samatta

Pamoja na hayo, Wanyama amewataka wachezaji wa Tanzania na Afrika Mashariki kiujumla kuacha kukata tamaa mapema kwa kile wanachokihaingaikia katika masuala mazima ya mpira.

"Wachezaji wa huku tunakata tamaa mapema na kuridhika haraka, kama mchezaji ukitaka kufanikiwa unatakiwa ku-focus katika mpira tu, usichanganye na mambo mengine" alisisitiza Wanyama.

 

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea