Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wiki ya fursa kutengeneza faida na Meridianbet

Jumanne , 26th Jan , 2021

Baada ya mzunguko wa 4 wa kombe la FA, EPL itaendelea wiki hii. Meridianbet hatukuachi nyuma, tunakwenda na wewe kila hatua!

Mchezo wa Tottenham dhidi ya Liverpool kwenye Meridianbet

Southampton atakamribisha tena Arsenal pale St. Mary’s Stadium. Baada ya kumtoa kwenye FA, Soton anaingia kwenye mchezo huu akiwa na lengo la kuendelea kumuumiza Arsenal. Itawezekana?? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.55 kwa Arsenal kupindua meza Jumanne hii.

Chelsea atakuwa nyumbani “Stamford Bridge” kuwakaribisha Wolverhampton Jumanne hii. Bado timu hizi zinajitafuta katika kupata matokeo yanayoendana na ubora wa vikosi vyao. Wolves alishinda mchezo wa kwanza, lakini vipi wiki hii ataibuka kidedea tena? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.70 kwa Chelsea kama mwenyeji wa mchezo huu.

Macho ya mashabiki wa EPL yataangazia zaidi mchezo wa Alhamisi ambapo Tottenham watawaalika Liverpool. Huu ni mchezo unaozikutanisha timu 2 zinazopambania kuwania ubingwa wa EPL msimu huu.

Spurs anaingia kwenye mchezo huu akitoka kwenye ushindi wa FA Cup na EPL, Liverpool anaingia akiwa na machungu ya kutopata matokeo kwenye michezo 4 mfululizo, kipigo dhidi ya Man United (FA Cup) na Burnley (EPL) hakika vinawatia ndimu Liverpool kwenye mchezo huu.

Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.40 kwa bingwa mtetezi wa EPL – Liverpool.

Kule kwenye Serie A kutakuwa na mchezo wa Milan Derby, Inter Milan vs AC Milan. Timu zote zinawania Scudetto msimu huu zikiwa katika nafasi ya 1 na 2. Nani ataweka wigo wake vizuri? Meridiabet tumekuwekea Odds ya 2.25 kwa Inter Jumanne hii.

Atalanta uso kwa uso na Lazio Jumatano hii. Hizi ni timu ambazo hazipo mbali sana na nafasi 4 za juu kwenye msimamo wa Serie A. Atalanta (5) na Lazio (7) zote zinanafasi ya kupambania Scudetto msimu huu. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.00 kwa Atalanta.

Napoli atachuana na Spezia kwenye mchezo mwingine wa Serie A siku ya Alhamisi. Timu zote zinanafasi ya kukutengenezea faida kubwa ukiwa na Meridianbet. Tumekuwekea Odds ya 1.40 kwa Napoli kama mwenyeji wa mchezo huu.

Kule La Liga kutakuwa na mtanange wa Sevilla vs Valencia. Timu zote zipo katika kiwango kizuri kwa sasa na chochote kinaweza kutokea kwenye mchezo huu. Kama Meridianbet, tumekuwekea Odds ya 1.70 kwa Sevilla Jumatano hii.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita