Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kuhusu kupandisha kiingilio CCM Kirumba

Ijumaa , 18th Oct , 2019

Uongozi wa Yanga umeweka wazi viingilio vitakavayotumika katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Pyramids FC na kufafanua sababu ya kupanga aina hiyo ya viingilio.

Makamu wa Rais wa Yanga na Afisa Habari

Mchezo huo utakaopigwa katika dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza, utakuwa na kiingilio cha Shilingi 10,000/= kwa mzunguko, shilingi 50,000/= kwa VIP na royal kwa shilingi 70,000/=.

Akizungumza sababu ya kuweka viingilio hivyo, Makamu Mwenyejiti wa klabu hiyo, Fredrick Mwakalebela amesema kuwa wameamua kufanya hivyo kutokana na gharama halisi za kuandaa mchezo huo, ambapo makato makato pamoja na gharama mbalimbali zinahusika.

"Gharama za uwanja zinabakia zilezile, asilimia 10 zinaingia kwenye gharama za mchezo, zingine zinakwenda TFF, CAF, walinzi wa uwanja pamoja na gharama za tiketi", amesema Mwakalebela.

"Hatujaweka vigezo hivyo kwa ajili ya kupata faida bali ni kuhakikisha vitu vinafanyika, hata kama kuna 'zero gain' lakini iwepo katika bei ambazo kila mtu anaweza kuzimudu", ameongeza.

Aidha Mwakalebela amesema kuwa kikosi chake kiko swa kuelekea mchezo huo na wana uhakika wa kuibuka na ushindi katika uwanja wa nyumbani kwani malengo yao ni kutinga hatua ya makundi. Amewaomba mashabiki wa Yanga na Watanzania wapenda kandanda kuisapoti Yanga ili iweze kufanya vizuri na kuzirudisha pointi ambazo zitapelekea nchi kuingiza timu nne msimu ujao.

Yanga inatarajia kusafiri kesho, Oktoba 19 kuelekea Jijini Mwanza ambako itaweka kambi kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya Pyramids utakaopigwa Oktoba 27.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera