Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kuja na mabadiliko makubwa baada ya Simba

Alhamisi , 5th Mar , 2020

Uongozi wa klabu ya Yanga umesema kuwa unatarajia kutangaza mabadiliko makubwa ya klabu hiyo mara baada ya kumvaa mtani wao jadi Simba, Jumapili Machi 8, 2020.

Mashabiki wa Yanga

Mabadiliko hayo ni ya kimfumo wa uendeshaji wa timu, ikiwa ni kazi ya Kamati ya Mabadiliko pamoja na Mwenyekiti wa klabu hiyo, Dkt. Mshindo Msolla.

Hayo yameelezwa na Afisa Mhamasishaji na Msemaji wa klabu hiyo, Antonio Nugaz, akisema kuwa tayari mpango huo umekamilika kwa asilimia kubwa kwa ushirikiano wa pande zote mbili.

"Kuna jambo kubwa litafuata baada ya hiyo tarehe 8 Machi kumfunga mtani, tunatambulisha mchakato wa mabadiliko chini ya Kamati ya Mabadiliko pamoja na Mwenyekiti Dkt. Mshindo Msolla", amesema Nugaz.

Kuhusiana na mchezo huo mkubwa utakaopigwa katika uwanja wa taifa, Nugaz amesema kuwa wamejipanga vyema kushinda mchezo kutokana na uwezo wao lakini endapo hakutakuwa na makandokando ya uwanjani.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala