Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga walivyoupokea ubingwa

Jumapili , 21st Mei , 2017

Wachezaji wa klabu ya Yanga wameonekana kujawa na furaha sana baada ya kuchukua ubingwa kwa mara ya 3 mfululizo ikiwa ni ubingwa wa 27 tangu klabu hiyo kuanzishwa mwaka 1935.

Saimon Msuva (Kushoto) na Thaban Kamusoko.

Yanga walikabindhiwa kombe la ushindi jana Jijini Mwanza baada ya mechi dhidi ya Mbao FC licha ya kuwa Mbao waliwafunga goli 1-0.

Baadhi ya wachezaji wa klabu hiyo wametoa shukrani kwa mashabiki na kwa watu wote ambao kwa namna moja au nyingine walikuwa pamoja na kuchangia mafanikio hayo katika msimu huu.

"Naishiwa maneno ila najua nguvu kubwa ni nyinyi Mashabiki zetu, Asanteni na Hongereni Pia Kwa Ubingwa pamoja we can" - Saimon Msuva.

"Katika maisha yangu ya mpira, namshukuru Mungu kwani nimeweza kucheza Tanzania misimu 6, na nimeweza kuchukua ubingwa mara 4, ila nimechukua ubingwa mara 3 mfululizo" - Haruna Niyonzima

"YANGA 27 TIMES CHAMPIONS" - Thaban Kamusoko.

"It has been a long journey thank you all especially for all u done for me" - Donald Ngoma.

Yanga wameshawasili Jiji Dar es Salaam, ni sherehe na furaha zinaendelea Jangwani.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria