Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga walivyoupokea ubingwa

Jumapili , 21st Mei , 2017

Wachezaji wa klabu ya Yanga wameonekana kujawa na furaha sana baada ya kuchukua ubingwa kwa mara ya 3 mfululizo ikiwa ni ubingwa wa 27 tangu klabu hiyo kuanzishwa mwaka 1935.

Saimon Msuva (Kushoto) na Thaban Kamusoko.

Yanga walikabindhiwa kombe la ushindi jana Jijini Mwanza baada ya mechi dhidi ya Mbao FC licha ya kuwa Mbao waliwafunga goli 1-0.

Baadhi ya wachezaji wa klabu hiyo wametoa shukrani kwa mashabiki na kwa watu wote ambao kwa namna moja au nyingine walikuwa pamoja na kuchangia mafanikio hayo katika msimu huu.

"Naishiwa maneno ila najua nguvu kubwa ni nyinyi Mashabiki zetu, Asanteni na Hongereni Pia Kwa Ubingwa pamoja we can" - Saimon Msuva.

"Katika maisha yangu ya mpira, namshukuru Mungu kwani nimeweza kucheza Tanzania misimu 6, na nimeweza kuchukua ubingwa mara 4, ila nimechukua ubingwa mara 3 mfululizo" - Haruna Niyonzima

"YANGA 27 TIMES CHAMPIONS" - Thaban Kamusoko.

"It has been a long journey thank you all especially for all u done for me" - Donald Ngoma.

Yanga wameshawasili Jiji Dar es Salaam, ni sherehe na furaha zinaendelea Jangwani.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala