Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaeleza sababu za kuwaacha Yondani na Kessy

Jumanne , 17th Jul , 2018

Klabu ya soka ya Yanga imeweka wazi kuwa wachezaji Kelvin Yondani na Hassan Kessy hawana mkataba na timu hiyo, ndio maana hawajasafiri na timu kwenda nchini Kenya kwaajili ya mechi ya kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya Gor Mahia lakini hilo haliwatii shaka.

Kushoto ni Hassan Kessy na kulia ni Kelvin Yondani

Msemaji wa Yanga Dismas Ten alipoulizwa na www.eatv.tv juu ya hali ya kambi ya timu hiyo nchini Kenya na kukosekana kwa wachezaji Kelvin Yondani na Hassan Kessy ameeleza, timu iko kwenye hali nzuri lakini suala la Yondani na Kessy halina jinsi kwasababu hawana mkataba nao.

''Mikataba ya Yondani na Kessy imekwisha na bado hawajafikia makubaliano na kamati ya usajili ndio maana hawapo kwenye kikosi kilichokwenda Kenya wala sio sababu nyingine lakini waliopo wanatosha kuiwakilisha timu na ikarudi na matokeo mazuri'', - amesema.

Aidha Ten amefafanua kuwa sio kweli kwamba wachezaji hao wamegoma kama ambavyo imekuwa ikielezwa huko mitandaoni ni suala la mikataba tu ambalo kamati ya usajili inalifanyia kazi kama watafikia makubaliano watatoa taarifa.

Yondani na Kessy walisajiliwa na Yanga kutoka klabu ya Simba kwa nyakati tofauti akianza Yondani Julai 2012 na kisha Kessy Mei 2016. Yanga kesho itashuka dimbani kucheza na Gor Mahia kwenye mchezo wao wa tatu katika kundi D, baada ya kufungwa 4-0 na USM Alger kwenye mechi ya kwanza na kutoka sare ya 1-1 na Rayon Sports kwenye mechi ya pili.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita