Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaitaka robo ligi ya mabingwa Afrika

Jumanne , 20th Feb , 2024

Uongozi wa Yanga SC umesema utautumia mchezo dhidi ya CR Belouzidad ya Algeria kama njia ya kutimiza malengo yao ya kutinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye mchezo unaotaraji kuchezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa mnamo Jumamosi ya Februari 24-2024.

Afisa Habari wa Yanga SC Ally Kamwe amewaomba mashabiki na wapenzi wa Yanga kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuipa hamasa timu hiyo ili waweze kufikia lengo la kufuzu kwenda hatua ya robo fainali huku wakijivunia rekodi kubwa na nzuri pindi wakicheza  kwenye dimba la Benjamin Mkapa

''Mchezo huo utakuwa ni 24/2/2024. Mpango wetu ni robo fainali. Na tutautimiza mpango huu kama tutaungana pamoja na kwenda Uwanjani kuwapa nguvu wachezaji wetu siku hiyo''amesema Kamwe

Kwa upande mwingine, Afisa idara ya wanachama na Mashabiki wa Yanga SC Jimmy Shomari Msindo maarufu kama Jimmy Kindoki amesema kuelekea mchezo huo wameupa jina la Pacome Day “Kitaalamu Zaidi” ili kwenda kutimiza azma yao ya kutinga hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika

Yanga SC inataraji kushuka dimbani kesho Jumanne Februari 20,2024 kupambana na Polisi Tanzania kwenye mchezo wa hatua ya 32 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup(ASFC) kwenye dimba la Chamanzi Jijini Dar es Salaam

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani