Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yakomaa na Morrison

Alhamisi , 14th Jan , 2021

Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Fredrick Mwakalebela amethibitisha kuwa tayari klabu hiyo imeshafanya malipo kwa ajili ya kusikilizwa kwa kesi yao dhidi ya mchezaji Bernard Morrison kwenye mahakama ya usuluhishi wa michezo Duniani CAS.

Klabu ya Yanga inaamini Bernard Morrison ni mchezaji wao halali

Kauli hiyo ameiota muda mchache baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi hapo jana ambapoMakamu mwenyekiti wa klabu hiyo, Fredrick Mwakalebela aliiambia EATV kuwa wameshafanya malipo kwa ajili ya kesi hiyo.

 

“Jana ilikuwa ni deadline ya malipo, sisi kama klabu ya Yanga tulisema tumedhamilia kupata haki na malipo tulishafanya kwa hiyo tunasubiria kupangiwa kesi itafabyika lini” amesema Mwakalebela

 

Klabu ya Yanga ilikata rufaa kwenye mahakama ya usuluhishi wa michezo Duniani CAS juu ya kutoridhishwa na maamuzi ambayo yalitolewa na kamati ya katiba, sheria na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la mpira a miguu nchini TFF, juu ya uhalali wa mkataba wa mchezaji Bernard Morrison na klabu ya Yanga.

 

Ikumbukwe kesi hiyo ilimfanya Morrison kuishinda Yanga na kuachwa kuwa mchezaji huru na baadae akajiunga na klabu ya Sim ba SC.

 

Hapo juzi, Januari 12 ndio ilikuwa siku ya mwisho ya kufanya malipo kwa ajili ya kesi hiyo kupangiwa jaji na siku ya kusikilizwa kwenye mahakama hiyo, ambaye iliweka wazi kuwa mchezaji Bernard Morrison anakesi yakujibu.

 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala