Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatoa majibu kuhusu kumtaka Niyonzima

Ijumaa , 22nd Nov , 2019

Imefahamika kwamba mashabiki wa klabu ya soka ya Yanga ndio wanamhitaji nyota wa zamani wa klabu hiyo Haruna Niyonzima na si benchi la ufundi kama inavyoripotiwa.

Haruna Niyonzima

Akizungumza na kipindi cha Kipenga cha East Africa Radio, afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli amesema hakuna ripoti ya kocha inayoonyesha kumhitaji kiungo huyo mnyarwanda, lakini wameamua kufanyia kazi maombi ya mashabiki wao ambao wamekua wakipendekeza arejee katika dirisha dogo la usajili.

Bumbuli amesisitiza kwamba waliamua kulipeleka suala hilo katika kamati husika ambayo imekua ikifuatilia kiwango cha nyota huyo tangu katika mechi ya kirafiki kati ya Taifa Stars dhidi ya Rwanda, lakini pia katika michezo ya Taifa lake ya kufuzu AFCON 2021.

Kama haitoshi kamati ya ufundi inatarajiwa kuangalia kiwango cha Niyonzima katika michuano ya Cecafa Senior Challenge, inayotarajiwa kutimua vumbi  mwezi ujao kabla ya kufanya maamuzi ya kumsajili.

Niyonzima aliondoka Yanga miaka miwili iliopita na kusajiliwa na Simba kabla ya kuachwa katika usajili iliopita na kurejea nchini mwao Rwanda na mpaka sasa anakipiga na AS Kigali .
 

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini