Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zahera atunukiwa cheo kipya ndani ya Yanga

Jumatano , 20th Feb , 2019

Aliyewahi kuwa msemaji wa klabu ya Yanga ambaye hivi sasa ni mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro, amesema uwepo wa kocha Mwinyi Zahera ndani ya Yanga umesaidia tu kuhamasisha mashabiki wachangie timu.

Kocha Mwinyi Zahera (katikati).

Muro ameyasema hayo jana jioni jijini Arusha kwenye mchezo wa African Lyon dhidi ya Simba, ambapo aliweka wazi kuwa Zahera sio kocha anayejua wachezaji bali ni mhamasishaji tu.

''Ngassa sio mchezaji wa kucheza Yanga kwasasa aende akawe akasome ukocha afundishe timu za vijana, hata Boban naye mwili na akili vimeshakataa, kwahiyo kocha huyo abaki tu kuwa mhamasishaji wa michango lakini kuhusu kujua wachezaji hawajui'', alinukuliwa akisema.

Aisha Muro aliweka wazi kuwa kinachotakiwa ni Yanga kujua thamani yake na ifike muda irejee kwenye misingi yake tofauti na ilivyosasa.

Katika mchezo huo wa jana ambao Simba iliibuka na ushindi wa mabao 3-0, Muro alionekana na swahiba wake Haji Manara ambaye waliwahi kuwa washindani wakubwa wakai Muro bado yupo Yanga. Pia Haji Manara alimvalisha Muro jezi ya Simba.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria