Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam FC yashusha vifaa vya msimu ujao

Ijumaa , 1st Jul , 2022

Uongozi wa klabu ya Azam FC imeendelea kushusha vifaa, baada ya kumtangaza mchezaji watatu wa Kimataifa, ikiwa ni muendelezo wa usajili kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu na michuano ya Kimataifa msimu wa 2022/23.

Mabosi wa Azam FC wakiwa kiungo mkabaji, Isah Ndala kutoka Plateau United ya kwao, Nigeria

Timu hiyo leo imemtangaza kiungo kutoka nchini Nigeria Isah Ndala, ambaye aliwahi kuja Tanzania na klabu ya Plateu United iliyocheza na Simba katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika msimu wa 2019/20.

Ndala alionyesha uwezo mkubwa katika michezo yote dhidi ya Simba SC, na kuibua gumzo kubwa miongoni mwa wadau wa soka, huku Simba wakihusishwa kutaka huduma za kiungo.

Azam imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo huyo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ikiandika: Tumefanikiwa kunasa saini ya kiungo mkabaji kutoka Nigeria, Isah Ndala, tukiingia naye mkataba wa miaka miwili.

Huo unakuwa ni usajili  wa tatu kuelekea msimu ujao, baada ya jana kuwatangaza nyota wawili kutoka Ivory Coast, Kipre Junior na Tape Edinho.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala