Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema
Mbunge Lema amedai kuwa, DPP hana mamlaka ya kisheria ya kuita vyombo vya habari na kuanza kumhukumu hata kabla ya mahakama haijamhukumu.
"DPP alisema kuna jambo yeye na ofisi yake watajua watalifanya, kauli yangu ni moja kwako mimi sikuogopi, unaweza ukafanya chochote unachotaka kukifanya kwangu, nina kesi nyingi mahakamani unaweza kushauri chochote" amesema Lema.