
Mwanamuziki Lady Jaydee
Kauli hiyo ameitoa kwenye kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television (EATV), kinachoruka kila siku za Ijumaa kuanzia saa 3:00 hadi saa 5:00 usiku, baada ya kuulizwa kwanini muziki wa zamani unaishi mpaka sasa na muziki unaofanywa na wasanii wa siku hizi unawahi zaidi kupotea.
"Wasanii wa siku hizi wanafanya 'bubble gum music' unakuwa ni muziki wa muda mfupi tu ili uwalipe kwa hapo hapo lakini 'in a long run' hakuna muziki", amesema Lady Jaydee
Tazama video hapa