Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu, ACP Richard Abwao
Taarifa hiyo imetolewa leo Oktoba Mosi, 2021, na Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu, ACP Richard Abwao, ambapo amesema tukio hilo limetokea Septemba 22, mwaka huu majira ya saa 3:00 usiku Kitongoji cha Majengo, Kata ya Dutwa wilayani Bariadi.
Video hapa chini








