
Watu wakivishana pete
Akizungumza na EATV Afisa Ustawi huyo amesema kutokana na ndoa hizo kuvunjika watoto wamekuwa wakiteseka kwa kukosa malezi na hatimaye watoto hao kujikuta wakifanyiwa ukatili wa kingono kutokana na kutokuwa na malezi bora kutoka kwa wazazi wa pande zote mbili.