Álvaro Arbeloa aridhi mikoba ya Xabi Alonso Madrid
Jumanne , 13th Jan , 2026
Na Mwandishi wetu
Álvaro Arbeloa ametangazwa rasmi kuwa kocha mkuu mpya wa Real Madrid, akichukua nafasi ya Xabi Alonso aliyeondoka klabuni hapo leo kwa makubaliano ya pande mbili.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.