
msanii wa Hip hop wa kundi la Weusi Joh Makini
Joh Makini amesema kuwa lengo lake na la team nzima ya Weusi ni kuupatia thamani muziki huo wa Hip Hop, hatua ambayo inaonekana sasa kupitia rekodi, na shughuli mbalimbali za wasanii hao.
00:00
00:00
00:00
