Anayedaiwa kumuua mumwe anatafutwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamsaka mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Mgore anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 na mkazi wa lbanda, Kata ya Kirumba Wilaya ya llemera kwa tuhuma za mauaji ya mume wake aitwaye Amosi Faustine Paulo, miaka 31, dereva wa pikipiki na mkazi w

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS