Chaneta kubebwa kwa mbeleko

viongozi wa chama cha netiboli Tanzania.

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi Pauline Gekul amesema kuwa Serikali itaendelea kuvibeba vyama vya michezo ikiwamo CHANETA kwa mbeleko mbili, moja ikiwa yake na ya pili ikiwa ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhakikisha michezo inaimarika nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS