Burundi kutumia dimba la Mkapa kufuzu AFCON

(Uwanja wa Benjamin Mkapa - jijini Dar es Salaam)

Timu ya taifa ya Burundi 'The Swallows' watakuwa wenyeji wa Cameroon katika mchezo wa Kundi C wa kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2023 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS