Bolt yatishia kusitisha huduma zake Tanzania

Huduma ya usafiri wa mtandaoni, Bolt

Baada ya Kampuni ya Uber kusitisha baadhi ya huduma zake Nchini Tanzania, huenda Kampuni ya Bolt nayo ikafanya hivyo kwa upande wa huduma za Usafiri wa gari maarufu kama teksi kutokana na ada ya huduma ya 15% iliyowekwa na LATRA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS