Waliofukuzwa CHADEMA waingia bungeni

Baadhi ya wabunge hao ni Esther Matiko na Salome Makamba

Baadhi ya Wabunge wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) juzi leo Ijumaa Mei 13, 2022, wameudhuria vikao vya Bunge na kuuliza maswali isipokuwa Mhe.Halima Mdee na Mhe.Ester Bulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS