Stars yaifuata Congo DRC Kibabe

Stars itaondoka majira ya saa 7 usiku leo kwenda Congo DRC kukabiliana na timu ya Congo DRC kwenye mchezo wa kufuzu AFCON 2025 itakayofanyika nchini Morocco Samata ataiongoza Stars huku Congo DRC ikimkosa mshambuliaji wa Brentford ya England Yoane Wissa

Sebastien Desabre kaendelea kukiamini kikosi chake kilichopata ushindi dhidi ya Guinea ametaja kikosi cha wachezaji 25 huku Fiston Mayele mshambuliaji wa zamani wa timu ya Yanga na Enock Inonga Baka wakiitwa na kocha huyo kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Tanzania Oktoba 10, 2024

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS