Stars yaifuata Congo DRC Kibabe
Sebastien Desabre kaendelea kukiamini kikosi chake kilichopata ushindi dhidi ya Guinea ametaja kikosi cha wachezaji 25 huku Fiston Mayele mshambuliaji wa zamani wa timu ya Yanga na Enock Inonga Baka wakiitwa na kocha huyo kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Tanzania Oktoba 10, 2024