Mtoto akutwa amefia kwenye kisima cha maji Kisima Mtoto Junior Musa Pius mwenye umri wa miaka mitatu mkazi wa mtaa wa Nyampa Kata ya Kasamwa wilayani Geita amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima kilichopo karibu na makazi yao. Read more about Mtoto akutwa amefia kwenye kisima cha maji