"Morogoro ni mkoa wa kimkakati" - RC Malima

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kusambaza umeme kwenye vitongoji 166 vilivyopo mkoa wa Morogoro baada ya kukamilisha usambazaji wa nishati hiyo kwenye vijiji 652 kati ya 669  ikiwa ni sawa na asilimia 97.5.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS