Bashe apiga marufuku biashara ya Kangomba

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, amepiga marufuku wafanyabiashara wanaonunua kahawa kwa njia ya Kangomba na kuagiza wakamatwe huku akisisitiza kuwa uwekezaji mkubwa unaofanywa katika zao hilo umelenga  kuteka soko la kahawa ya Tanzania kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS