Tunataka huduma bora baada ya wiki ya huduma Geoge Mugale, mkazi wa Dar es Salaam Wananchi mkoa wa Dar es Salaam, wameyaomba makampuni ambazyo yanaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kudumisha huduma bora hata baada ya wiki ya huduma ili kupunguza malalamiko kwa wahitaji huduma. Read more about Tunataka huduma bora baada ya wiki ya huduma