Daktari bingwa wa kliniki ya Macho ya Majey Smart Version Jafar Majala akieleza jinsi ukosefu wa elimu na tabia ya kutokupima macho mara kwa mara imechangia katika kupata matatizo ya ghafla ya uoni
Ukosefu wa elimu na kutokupata matibabu sahihi mara kwa mara imeelezwa kuchangia katika uoni hafifu wa ghafla kwa jamii nahivyo kupelekea utendaji kazi usio na ufanisi