Hatujacheza vizuri lakini ninafuraha- Klopp

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amewasifu wachezaji wake kwa kupambana na Inter Milan na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 wakiwa ugenini, huku akiweka wazi kuwa hawakucheza vizuri lakini wamefunga mabao mawili mazuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS