Manchester United watatwaa Ubingwa wa UEFA 2022

(Peter Schmeichel kushoto na baadhi ya wachezaji a Manchester United)

Gwiji wa zamani wa Manchester United, Peter Schmeichel ameitabiria klabu yake ya zamani kuwa na uwezekano mkubwa wa kutwaa kombe la ligi ya mabingwa barani ulaya msimu huu licha ya kusuasua hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS