Wafanyakazi 12 wa Azam TV wapata ajali Kitonga Eneo la ajali mlima Kitonga Wafanyakazi 12 wa Azam Media Limited (AML) wamepata ajali katika Mlima Kitonga, mkoani Iringa, baada ya gari lao kusukumwa na lori lililokuwa likirudi nyuma kwa dharura. Read more about Wafanyakazi 12 wa Azam TV wapata ajali Kitonga