Lukaku aipelekea Chelsea fainali kombe la Dunia

(Romelu Lukaku akiifungia Chelsea bao moja na la ushindi dhidi ya Al Hilal)

Mshambuliaji cha Chelsea, Romelu Lukaku amefanikiwa kufunga bao dakika ya 32 na kuifanya timu yake iibuke na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Hilal ya Saudi Arabia na kuisaidia timu yake kutinga fainali ya kombe la Dunia la Vilabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS