Rais Samia atoa bilioni 2.4

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

Rais Samia ameipatia Makumbusho ya Taifa nchini kiasi cha shilingi bilioni 2.4 ili iweze kutekeleza miradi 15 inayotekelezwa kwa fedha za miradi ya ustawi wa nchi na mapambano dhidi ya UVIKO-19, katika vituo vyake sita kikiwepo cha Azimio la Arusha Jijini Arusha. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS