Simba wanacheza mchezo wa 3 leo, ndani ya siku 10

(Kiungo wa Simba SC, Clatous Chama akicheza dhidi ya Mtibwa Sukari)

Mabingwa wa Tanzania bara Simba SC wanashuka dimba leo jioni kucheza mchezo wa 3 mfululizo ugenini dhidi ya Kagera Suga katika dimba la Kaitaba huko Bukoba mkoani Kagera. Mchezo huu ni wa kiporo na unachezwa Saa 10 jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS