Wazawa wanafunga kuliko wageni, Ligi Kuu
Ligi Kuu soka Tanzania bara ikiwa inaendelea kushika kasi tukiwa raundi ya 13, mbio za kuwania kiatu cha dhahabu cha mfungaji bora nazo zinaendela, mshambuliaji wa Namungo FC Reliant Lusajo ndio kinara wa ufungwa akiwa na mabao 7 na Yanga ndio timu iliyofunga mabao mengi 23 mpaka sasa.