Dkt. Salim atimiza miaka 80, Rais Samia ampongeza Dr. Salim Ahmed Salim Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepongeza Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania (1984-1985) Dr. Salim Ahmed Salim kwa kutimiza umri wa miaka 80 leo Januari 23, 2022. Read more about Dkt. Salim atimiza miaka 80, Rais Samia ampongeza