Jota ni mchezaji wa kiwango cha Dunia- Klopp

Diogo Jota kushoto akipongezwa na kocha Jurgen Kloop

Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amemsifu mshambuliaji wake Diogo Jota kwa kiwango bora baada ya kufunga mabao 2 kwenye ushindi wa 2-0 walioupata kwenye mchezo wa nusu fainali ya kombe la Ligi Carabao CUP dhidi ya Arsenal. Na sasa watacheza fainali dhidi ya Chelsea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS