Rangnick ataja sababu za kumfanyia 'SUB' Ronaldo

Cristiano Ronaldo kushoto akitoka kwenye mchezo dhidi Brenford, kulia ni kocha Ralf Rangnick

Kocha wa Manchester United Ralf Rangnick amemtetea Cristiano Ronaldo kwa kuonyesha hasira waziwazi baada ya kutolewa dakika ya 71 kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Brenford ambao timu hiyo imeshinda mabao 3-1. Amesema ni kawaida kwa mchezaji kufanya hivyo kama hajafunga goli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS