Lewandowski, Tuchel bora Duniani tuzo za FIFA

(Baadhi ya washindi wa tuzo za FIFA The Best 2021)

Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich, Robert Lewandowski ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa Dunia kwa upande wa tuzo za FIFA The Best mwaka 2021 na kuwapiku Mohammed Salah (Liverpool) na Cristiano Ronaldo  (Man United).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS