Ndugai katupa somo- Msekwa
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa, amesema somo pekee ambalo amelitoa Spika wa Bunge la 12 aliyejiuzulu Mhe. Job Ndugai ni kwamba kiongozi muadilifu lazima aachie ngazi anapoonekana kwamba amekataliwa na wale waliomweka kwenye uongozi.