Ndugai katupa somo- Msekwa

Kushoto ni Spika Mstaafu wa Bunge Pius Msekwa na kulia ni Job Ndugai

Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa, amesema somo pekee ambalo amelitoa Spika wa Bunge la 12 aliyejiuzulu Mhe. Job Ndugai ni kwamba kiongozi muadilifu lazima aachie ngazi anapoonekana kwamba amekataliwa na wale waliomweka kwenye uongozi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS