Kanuni zatumika kuahirisha mchezo wa Simba SC

Mchezaji wa Simba Hassan Dilunga kushoto akiwania mpira dhidi ya Ally Mtoni wa Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu msimu uliopita

Bodi ya Ligi Kuu soka Tanzania bara TPLB imetoa sababu ya kuahirishwa kwa mchezo wa Ligi Kuu kati ya Kagera na Simba SC uliokuwa uchezwa leo Disemba 18, 2021 Saa 10:00 Jioini katika Dimba la Kaitaba Mkoani Kagera.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS