Yanga yahitaji uchunguzi juu ya tuhuma dhidi yao

Mwnyekiti wa Yanga, Dokta Mshindo Msola akizungumza katika moja ya mkutano na Waandishi wa Habari.

Uongozi wa Klabu ya Yanga umesikitishwa na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Wanachama wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu , baada ya mchezo nambari 64 wa Ligi Kuu baina ya Simba na Yanga uliochezwa na Jumamosi tarehe Jumamosi ya tarehe 11/12,2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS