Ronaldo hakamatiki, kafunga mabao 801

Cristiano Ronaldo

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha idadi ya mabao 800 kwenye michezo rasmi kwa ngazi ya klabu na timu ya taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS