(CR7 akiwa anapokea maelekezo kutoka kwa kocha wake Michael Carrick)
Kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuacha kumdhihaki Ronaldo kwamba hataweza kucheza kwenye mfumo mpya wa mwalimu wa mpito wa United Ralf Rangnick.