Rangnick ameahidi makubwa, Manchester United
Rasmi klabu ya Manchester United imemtangaza Ralf Rangnick kuwa kocha wa muda wa kikosi hicho mpaka mwishoni mwa msimu huu wa 2021-22. kocha huyo mjerumani anachukua nafsi ya kocha Ole Gunnar Solskjaer aliyefutwa kazi wiki iliyopita.