Rais Samia ameondoa urasimu huu kwa miezi 8

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu amesema kwa miezi nane ya serikali ya Awamu ya Sita, wamefanikiwa kuondoa urasimu kwenye mambo mbalimbali ikiwemo vibali vya kazi pamoja na uwekezaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS